5.12.06

kapo jua

Ahadi za JK zaanza kutekelezwa


Wakati wa kampeni za urais mwaka 2005, JK alisema: "Tanzania Yenye Neema Inawezekana." Aliahidi "kushamirisha demokrasia." Na zaidi ya yote, aliahidi "maisha bora kwa kila Mtanzania" kwa ari mpya, kasi mpya na nguvu mpya. Mwaka mmoja umepua tangu aingie madarakani. Haya ndiyo matokeo ya ahadi hizo?

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 0 Maoni Yako

Friday, December 01, 2006
Mbowe na Obasanjo warejea darasani


Wanasiasa hawa wawili, Rais wa Nigeria, Olusegun Obasanjo, na aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania mwaka 2005, Freeman Mbowe, wamefanana katika jambo moja mwaka huu - kurejea shule, kunoa ubongo. Tusisahau Waziri Mkuu, Frederick Sumaye, naye alijiunga na Chuo Kikuu cha Havard mapema mwaka huu.

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 0 Maoni Yako

Wednesday, November 29, 2006
Kura Za Mzee Wa Kombati Zilikwenda Wapi?


CCM walidai kwamba Mbowe alipata watu wengi kwenye kampeni kwa sababu watu walikwenda kushangaa helikopta. Nikiitazama picha hii naona jambo tofauti. Helikopta ipo uwanjani lakini hawaitazami. Wameiacha nyuma, wanamkodolea macho Mbowe (hayupo pichani). Tazama nyuso zao. Waliofuatilia kampeni zake wanajua hali ilikuwa hivyo kila mkutano wake wa kampeni Oktoba - Desemba 2005. Tazama mmoja wa washindani wake. Nimesikia watu wakijiuliza. Nami najiuliza. Na sasa nawauliza nyie wasomaji. Tuulizane. Hivi kura za Mbowe zilikwenda wapi?

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 0 Maoni Yako

Tuesday, November 21, 2006
Tazama Ubunifu


Rafiki yangu mmoja aitwaye Alex Kaija amenitumia picha hii. Nimemuuliza alikoipata akasema naye ametumiwa. Hamjui aliyeitengeneza. Nimevutiwa na ubunifu wake; nikaona vema niwashirikishe wasomaji wa blogu hii. Mnasemaje?

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 5 Maoni Yako

Sunday, November 19, 2006
Unasemaje juu ya vitisho vya Lowassa?


Waziri Mkuu, Edward Lowassa, amekuwa akitumia mabavu kukabiliana na wananchi wanaomkosoa, hasa magazetini. Makala HII imemuonya na kumtahadharisha juu ya athari za ubabe huo; hasa kwa mtu ambaye tayari ameshaonyesha nia ya kuwania urais baada ya Jakaya Kikwete. Una maoni gani?

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 3 Maoni Yako

Wednesday, November 08, 2006
Mbunge Huyu Ana Hoja, Asikilizwe


HII ni sehemu tu ya upungufu wa katiba ya nchi yetu ambayo tunaendelea kusisitiza kuwa iandikwe upya ili iendane na matakwa ya sasa. Kwa nini tulazimishane kuongozana kwa matakwa ya miaka 50 iliyopita? Kwa nini hatuoni kwamba na kizazi hiki kina mchango wake katika kukua kwa taifa?

Imewekwa na Ansbert Ngurumo | 0 Maoni Yako

Monday, November 06, 2006
Kifo cha Saddam Hussein


Hajafa, lakini mazingira yanaonyesha kuwa atakufa. Unasemaje kuhusu hukumu dhidi yake? Soma maoni ya "dunia," sifa zake na historia yake.

2 comments:

  1. Anonymous4:57:00 am

    ghananie.blogspot.com is very informative. The article is very professionally written. I enjoy reading ghananie.blogspot.com every day.
    bad credit personal loans
    canada payday loans

    ReplyDelete
  2. Anonymous1:45:00 am

    Awesome read, well done

    ReplyDelete

Ghana is back on track with investment opportunities - Veep woos foreign investors

Accra, June 6, GNA-Vice President Mahamudu Bawumia says Ghana's economic opportunities for private sector investors are back on track as...